18 June, 2015
Winger wa Man Untd ajisogeza karibu na aliyekuwa mpenzi wa Chris Brown’Karrueche Tran’.
Winger mpya wa klabu ya Man Untd ‘Memphis Depay’ ameonekana akiwa karibu na aliyekuwa mpenzi wa Chris Brown ‘Karrueche Tran’ kwenye picha waliyopiga pamoja.
Picha hii imezua mapya kuwa kuna uwezekano K Tran akahusishwa kimapenzi na
kijana huyu mdogo mwenye pesa nyingi za soka. Wawili hawa walikutana Miami.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment