29 May, 2015

Mashabiki wa Jay Z Weusi Walalamikia tabia yake ya kinafki,hii ndio sababu.

ATLANTA, GA - FEBRUARY 23: Jay-Z attends the So So Def anniversary party hosted by Jay Z at Compound on February 23, 2013 in Atlanta, Georgia. (Photo by Prince Williams/Getty Images)
Wamarekani weusi wamemshambulia rapa Jay Z kwa vijembe kuwa yeye ni mnafki baada ya kuona picha ya wafanyakazi wa kampuni yake ya TIDAL Kuwa wote ni weupe.Jay Z hivi karibuni alilalamika kuwa watu weusi hawampi ushirikiano na kampuni yake ya Tidal kama
wanavyofanya na kampuni nyingine kama Google, Itune [Apple] na Nike.0528-jay-z-beyonce-tidal-Hata hivyo imegundulika kuwa Makao makuu ya kampuni ya Tidal yapo nchini Norway ambako watu weusi sio wengi kitu ambacho kimepelekea watu wengi wenye ujuzi na wanaoajiriwa kwenye kampuni nyingi kuwa weupe.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...