25 May, 2015

PICHA PAMOJA NA VIDEO JINSI MABINGWA CHELSEA WALIVYO SHEREKEA UBINGWA WAO JANA

Chelsea manager Jose Mourinho places the crown of the trophy on the head of Didier Drogba after the English Premier League soccer match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge stadium in London, Sunday May 24, 2015. Chelsea were awarded the trophy after winning the English Premier League.  (AP Photo/Matt Dunham)
Klabu ya Chelsea jana walikuwa na kibarua cha kuikamilisha ratiba ya mechi zao kwenye ligi Kuu ya Uingereza, Barclays Premier League.. kwenye mchezo huo walikuwa wakibanana na Klabu ya Sunderland ambapo filimbi ya dakika 90 kukamilika ilipulizwa huku Chelsea ikiongoza kwa
ushindi wa goli 3-1.Chelsea imemaliza kibarua hicho kwa kufanikiwa kufikisha jumla ya points 87, nafasi ya pili wako Man City wenye points 79 huku Arsenal wakifuatia kwa points 75. Kuna pichaz na video mwanzo mpaka mwisho wakati Chelsea wakikabidhiwa ushindi wao pale Stamford Bridge.
LONDON, ENGLAND - MAY 24:  Didier Drogba and Chelsea players walk into the pitch prior to the Barclays Premier League match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge on May 24, 2015 in London, England.  (Photo by Laurence Griffiths/Getty Images)

Didier Drogba na wachezaji wenzake wa Chelsea wakiingia uwanja wa Stamford Bridge jana May 24 2015 katika mechi yao ya kukamilisha ratiba ya Ligi kuu ya Uingereza.
Chelsea's goalkeeper Petr Cech, center left, shakes hands with head coach Jose Mourinho before the English Premier League soccer match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge stadium in London, Sunday, May 24, 2015. (AP Photo/Matt Dunham)
Golikipa wa Chelsea, Petr Cech akipeana mkono na Kocha wao Jose Mourinho
Chelsea's Didier Drogba, center left, hugs head coach Jose Mourinho in a lineup before the English Premier League soccer match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge stadium in London, Sunday, May 24, 2015.  (AP Photo/Matt Dunham)
Mourinho alikuwa na furaha yake kabla hata mechi haijaanza.. Kamkumbatia Drogba hapo !!
LONDON, ENGLAND - MAY 24: Jose Mourinho manager of Chelsea shows his champion's medal after the Barclays Premier League match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge on May 24, 2015 in London, England.  (Photo by Michael Regan/Getty Images)
Kocha Jose Mourinho na medali yake
LONDON, ENGLAND - MAY 24:  Didier Drogba of Chelsea is lifted by his team mates as he is substituted during the Barclays Premier League match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge on May 24, 2015 in London, England.  (Photo by Laurence Griffiths/Getty Images)LONDON, ENGLAND - MAY 24: Diego Costa of Chelsea scores his team's first goal from the penalty spot during the Barclays Premier League match between Chelsea and Sunderland at Stamford Bridge on May 24, 2015 in London, England.  (Photo by Mike Hewitt/Getty Images)Hapa kuna kipande cha video wanavyolipokea Kombe lao>>>>>


NI HAPA HAPA MTOKA MBALI, ENDELEA KUTUFUATILIA KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK: Mawere Mtoka  Mbali,TWITTER:@mawere3,INSTAGRAM: MAWERE_MTOKI_MBALI, SUCRIBE YOUTUBE:MAWERE TV. AKSANTE NA ENDELEA KUTEMBELEA MTOKA MBALI.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...