27 May, 2015

ETI NICK MINAJ NA MEEK MILL SIO WACHUMBA?

meek-nicki
Nicki Minaj na rapa Meek Mil waliteka blogs April mwaka huu baada ya Nicki kuonyesha pete aliyopewa na Meek Mil huku watu wakipigia mstari kuwa ni wachumba na ndoa inafungwa muda wowote. Kwenye mahojiano na mtandao wa Fader rapa Meek Mil amethibitisha kuwa
Yeye na Nicki Minaj sio wachumba na kwamba hawajafikiria kabisa swala la harusi. Meek alisema “Bado tunasomana kwanza ,ni mapema mno kufunga harusi “.


Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...