Wiki chache baada ya kukataa mkataba wa kampui kubwa ya simu
Nigeria ‘MTN’ Star Boy Wiz Kid amethibitisha kuwa ameingia mkataba na
wapinzani wa kampuni hio ambao ni Globacom ‘Glo’. Wiz Kid ametangaza
rasmi kuwa yeyeni balozi wa Glo “ProudGloAmbassador”
Kwenye Mkataba huo Wiz atalipwa pesa za Nigeria Naira milioni 100. Wiz atafikisha miaka 25 hivi karibuni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment