Wiki chache baada ya kukataa mkataba wa kampui kubwa ya simu
Nigeria ‘MTN’ Star Boy Wiz Kid amethibitisha kuwa ameingia mkataba na
wapinzani wa kampuni hio ambao ni Globacom ‘Glo’. Wiz Kid ametangaza
rasmi kuwa yeyeni balozi wa Glo “ProudGloAmbassador”
Kwenye Mkataba huo Wiz atalipwa pesa za Nigeria Naira milioni 100. Wiz atafikisha miaka 25 hivi karibuni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment