
.Kerr atachukua nafasi ya Goran Kopunivoc ambaye mkataba wake umemalizika. Kopunivoc alimaliza mkataba wake kwa kushika nafasi ya tatu kwenye ligi kuu iliyomalizika.Kocha huyo mpya wa Simba ataingia nchini wiki hii.
Akitua Tanzania kocha huyo atatambuliswa rasmi mbele ya waandishi wa habari.
Pamoja na Muingereza huyo, Simba pia imemtangaza kocha mpya wa makipa, Abdul Idd Salim kutoka Kenya.
No comments:
Post a Comment