Hatimaye kocha mpya atakayeanza kukinoa kikosi cha wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club, amefahamika.Kocha huyo ambaye ni raia wa Uingereza, anaitwa Dylan Kerr na tayari
ameingia makubaliano na uongozi wa Simba kuanza kazi hiyo kwenye msimu
ujao wa ligi kuu ya Tanzania bara
.Kerr atachukua nafasi ya Goran Kopunivoc ambaye mkataba wake
umemalizika. Kopunivoc alimaliza mkataba wake kwa kushika nafasi ya tatu
kwenye ligi kuu iliyomalizika.Kocha huyo mpya wa Simba ataingia nchini wiki hii.
Akitua Tanzania kocha huyo atatambuliswa rasmi mbele ya waandishi wa habari.
Pamoja na Muingereza huyo, Simba pia imemtangaza kocha mpya wa makipa, Abdul Idd Salim kutoka Kenya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment