25 June, 2015

Beyoncé naye kuonekana kwenye movie ya Avengers kama mmoja wa 'superhero'!

Kwanzia movie ya Avengers imetoka imewagusa wengi kutokana na kuwapeba ma staa wengi ambao wamekuwa wakisifika kwa kucheza movie zenye kusadikika 'Superhero, Superpower, super natural power'Production ya Marvel inaweza kumchukua mwanamuziki na
mcheza filamu Beyoncé akashiriki na yeye kwenye filamu hiyo, Hii ni kwamujibu wa The Daily Star.
Milikiwa wa Marvel na Disney wanaaamini kuwa watapata mkwanja wa kutosha endapo watamuweka acheze pamoja na Scarlett Johansson na Elizabeth Olsen.We would love to have Beyoncé on board, almost certainly as a newcomer to the screen from Marvel’s existing catalogue of comic book characters,” aliongea mmoja wa viongozi wa kampuni ya Disney kuiambia The Daily Star.
Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa Beyoncé kushiriki kwenye filamu, Staa huyu alisha cheza movie ya Dreamgirls, Austin Powers in Goldmember, The Pink Panther na Cadillac Records na alisha shinda tajwa kwenye tuzo za Golden Globe kutokana na filamu ya Dreamgirls.
Hivi karibuni Beyoncé amehamia Los Angeles yeye pamoja na Jay Z kwahiyo tunaweza kutarajia kumuona kwenye filamu nyingi zaidi.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...