13 May, 2016

Kanuni 9 za mafanikio kutoka kwa Steve Jobs

  http://allaboutstevejobs.com/index/index.jpg

Steve Jobs ni moja kati ya watu walio wahi kuwa Maarufu katika ulimwengu wa teknologia na Amekuwa mfano wa kuigwa na kazi zake zimekuwa changanoto katika ulimwengu wa Sayansi. Watu wengi wamekuwa wakihamasika kupitia speech zake alizokuwa akitoa katika mikutano mbali mbali ya kibiashara na hata katika teknologia Alifariki mnamo mwaka 2011 akiwa na umri wa mika 56 Soma zaidi kuhusu maisha yake kwa ujumla >> Mfahamu Steve Jobs mwanzilishi wa kampuni ya Apple

 Mimi nimekuwa mmoja kati ya watu ambao wamekuwa wakihamasika kutokana na speech za Job na ndio maana mpaka leo nzaidi kumfuatilia maana nafahamu sinto weza kukosa kitu kutoka kwake, namaanisha "ukitaka kunukia basi kaa karibu na Waridi"

   Basi leo acha nikupe mambo tisa ya kujifunza kutoka kwa Steve Jobs

1.Follow your heart(Futa nafsi yako.)

Embu kuwa na maono juu ya kile unacho kiamini kwamba unakiweza, weka malengo yako ambayo yatakufikisha kule uliko tamani kufika siku zote za maisha yako, fanya mwenyewe ili kuyaona machungu ya kazi yako pasipo kuingiliwa na mtu yeyote. Amini kama unaweza. Kumbuka mafanikio hayaji kwa kukata tamaa bali huja kwa kuongeza nia na ghadhabu katika kazi zako.

Almost everything–all external expectations, all pride, all fear of embarrassment or failure–these things just fall away in the face of death, leaving only what is truly important. Remembering that you are going to die is the best way I know to avoid the trap of thinking you have something to lose. You are already naked. There is no reason not to follow your heart.

2.Trust yourself(Jiamini peke yako)

Tunapo kuja katika kipengele hichi ni lazima mtu ajikubali kwanza kwamba anaweza kusimama yeye kama yeye katika Vission(maono yake) na zaidi ya yote aweze kusimama katika kutimiza ndito zake kwa vitendo, hivyo swala la kujiamini la muhimu sana. Umeamua kufanya biashara na kuacha kazi ofisini usiogope we fanya biashara maana kile ulicho kitaka katika maisha yako yote kitakuwa katika hiyo biashara endapo tuu utaamua kufanya hivyo. Njia nzuri ya mtu kujifunza ni kufanya makosa na kisha kujifunza kutokana na makosa..

 You can’t connect the dots looking forward; you can only connect them looking backwards. So you have to trust that the dots will somehow connect in your future. You have to trust in something — your gut, destiny, life, karma, whatever. This approach has never let me down, and it has made all the difference in my life.

3.Love what you Do(Penda kile unacho kifanya.)

Mafanikio siku zote huja kwa kupenda kile unacho kifanya, naamini kabisa endapo utapenda kile unacho kifanya kwa moyo wako na akili zako basi chance ya wewe kufanikiwa ni kubwa kuliko yule ambae anafanya kitu ambacho moyo wake hauridhiki. Ngoja nikupe mfano hai( Mimi nilipo hitimu chuo cha mafunzo ya Utabibu, niliamua kuti kujihusisha na mambo ya hosipitalini pamoja na Madawa na badala yake niliamua kuwa Blogger.... mmh maajabu eeh!) hii yote ilisababishwa na mimi kuamini kwamba mafanikio yangu yatakuja katika kile nachopenda kukifanya(Blogging). 

Your work is going to fill a large part of your life, and the only way to be truly satisfied is to do what you believe is great work. And the only way to do great work is to love what you do.

 4.Go for a home run

Kitika maisha yako yote kamwe usizarau ubora. Ubora ni zaidi kuliko kiasi. Fanya kazi zko kwa bidii na hakikisha unazalisha mazao yenye Ubora na siyo tuu bora mazo. Umeamua kufanya kitu basi hakikisha umekitendea haki. Jambo hili litakuletea mafanikio makubwa katika maisha yako.

Be a yardstick of quality. Some people aren’t used to an environment where excellence is expected. One home run is much better than two doubles.

5.Fanya uchaguzi kwa makini(Pick carefully)

Kuwa bize, fanya mambo yako, futa yale mambo ambayo ni ya msingi tuu achana na hayo menine, muda wako mwingi uwe ni wakujifunza mambo ya maendeleo tuu, epuka vitu vinavyo kusabisha kupoteza muda mfano kuangalia Tv kwa muda mrefu, Kufuatilia habari za udaku, kupoteza muda mwingi kwenye social medias ukitafuta new updates n.k. 

People think focus means saying yes to the thing you’ve got to focus on. It means saying no to the hundred other good ideas that there are. You have to pick carefully.

6.Work hard to make it simple.

Kuna nguvu yakutengeneza kile unacho kiamini kwamba ndicho utakacho kifaya katika maisha yako. Fanya kazi kwa bidii na mwisho wa siku utasimama mbele ya umati wa watu na kuzungumza kitu chenye sura na mtazamo chanya wa kazi yako. Pangilia magumu yako yote katika kazi zako na kisha yatendee kazi na kuyatatua na mwisho wa siku kila kitu kitakaa katika mstari wake kama inayo takiwa kuwa.

Design is not just what it looks like and feels like. Design is how it works. Simple can be harder than complex. You have to work hard to get your thinking clean to make it simple.

7.Iba/iga/chukua idea kubwa( Steal great ideas).

Unajua wakati mwingine kama kitu kimekupendeza na kinaendana na wewe, siyo mbaya ukakichukua na kukifanyia kazi kikamilifu. Jifunze Mengi kutika kwa watu wenye fikra kubwa , fanya mengi ya kuiga kutoka kwao na mwishoni na wewe utaweza kubadilisha idea zile zikawa mafanikio yako na ikawa ni rahisi kwako wewe kuwa pahala ulipotamani kuwa katika maisha yako yote.

We have always been shameless about stealing great ideas.

 8.Lengo lako lisiwe ni Kutengeneza hela kwanza (Your goal isn’t to make money).

Usiweke pesa mbele bali tumia muda wako kutengeneza na kukuza jina pamoja na kazi zako. Watu watakuja kuiga ujuzi na kukuukiza maswali na kujifunza kutoka kwako na mwisho wa siku pesa zitakuaja tuu(Kizuri cha jiuza na kibaya chajitembeza, na pesa huja baada ya mafanikio).

Apple’s goal isn’t to make money. Our goal is to design and develop and bring to market good products. We trust as a consequence of that, people will like them, and as another consequence, we’ll make some money.

9.Usipoteze Tumaini(Don’t lose faith)

Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, bayana yasiyo onekana. Unapokua ukifanya kazi zako, kuna muda uanatamani kukata tamaa na kupoteza tumaini.. lakini hupaswi kuiruhusu hali hivyo iwepo katiaka kazi zako. Kumbuka pale unapokuwa ukikata tamaa, ndipo mafanikio yako huwepo ama huwa karibu. Jiulize na kujitazama ulikotoka na hapo ulipo.

Sometimes life hits you in the head with a brick. Don’t lose faith.


Kwa leo nimetia nanga na meli iko ufwekweni, ni matumaini yangu umejifunza kitu katika post hii,ningeomba unachie maoni ama ushauri hapo chini kama utakuwa nayo, basi tukutane tena panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.

 


Je ungependa kujiunga na watu 3000 waliochagua kujiunga nami ili kupata makala zangu kila Week-end kupitia email zao BURE?

* indicates required


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...