20 September, 2016

Justin Bieber na mpenzi wake Sofia Richie waachana

Penzi la mwanamuziki maarufu ulimwemguni Justin Beiber na Sofia Richie ambaye ni mtoto wa mwanamuziki mkongwe nchini Marekani Lieonel Richie Limeingia wenda wazimu na hatimaye wawili hoa wamwagana-  Mtandao wa TMZ umeripoti.

Chanzo cha karibu na wapenzi ho kiliuambia mtando huo wa TMZ kwamba wawili ho hawakuawa teyari kuanza safari hiyo ya mapenzi licha ya kuonekana pamoja nchini Mexico kwenye Birthday ya Mwanadada Sofia Richie ambapo alikua akitimiza miaka 18, tangu hapo hawakuonekana tena hadharani na hawakuwa wakiongea tena pamoja.

Mwana dada Sofia Richie alionekana mnamo Siku ya Juma pili akiwa na marafiki zake wakila bata bila kuwaza chochote yani.


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...