Mwanamuziki na Muigiazajia Snura amejipa cheo cha malkia wa Uswazi kwa madai kwamba amekulia maisha ya Uswahilini, hata nyimbo anazo imba zina maudhui na mazingira ya Uswahilini, hivyo ni sahihi kujiita jina hilo.
"Mimi ni Malkia wa Uswazi, kwanza nmekulia huko, nimekaa huko, na hadi sasa nakaa huko na nyimbo zangu ni za uswazi, hivyo sioni kama kuna shida nikijiita Malkia wa Uswazi" -Alisema Snura.
Snura alisema hayo kwenye kipindi cha eNewz na kufafanua kuwa hajali kwamba ataelewekaje, kwa madai kwamba hata mashabiki wanamuita kwa jina hilo na Pia ndiye Malikia wa Kisingeli kutokana na Muziki anao fanya.
Nyota huyo alisema hata kama yupo mwanamuziki mwenzake Shaa, ambae kwanzia hapo awali alikua akijiita jina hilo na kudai kwamba watu tuu wenyewe wanajua tu nani Malkia wa Uswazi.
20 September, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment