Mwanamuziki na Muigiazajia Snura amejipa cheo cha malkia wa Uswazi kwa madai kwamba amekulia maisha ya Uswahilini, hata nyimbo anazo imba zina maudhui na mazingira ya Uswahilini, hivyo ni sahihi kujiita jina hilo.
"Mimi ni Malkia wa Uswazi, kwanza nmekulia huko, nimekaa huko, na hadi sasa nakaa huko na nyimbo zangu ni za uswazi, hivyo sioni kama kuna shida nikijiita Malkia wa Uswazi" -Alisema Snura.
Snura alisema hayo kwenye kipindi cha eNewz na kufafanua kuwa hajali kwamba ataelewekaje, kwa madai kwamba hata mashabiki wanamuita kwa jina hilo na Pia ndiye Malikia wa Kisingeli kutokana na Muziki anao fanya.
Nyota huyo alisema hata kama yupo mwanamuziki mwenzake Shaa, ambae kwanzia hapo awali alikua akijiita jina hilo na kudai kwamba watu tuu wenyewe wanajua tu nani Malkia wa Uswazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment