Nguli wa muziki nchini Afrika
Kusini, Mduduzi Tshabalala, al-maarufu Mandoza, amefariki baada ya
kuugua saratani kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38.Mandoza alisifika kwa albamu kadha za muziki aina ya Kwaito, aina ya muziki wa Afrika Kusini ambao hukaribiana sana na Hip Hop.
No comments:
Post a Comment