New msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Mbeya, Tanzania ‘lusajo
Oland’ a.k.a Oland, amabye anadai kuwa na ndoto za kutaka kufanikiwa
katika muziki hasa muziki wa Hip Hop Tanzania na kufikia level za
Kimataifa, ameachia wimbo wake wa kwanza ambao unaitwa “You’re mine”
Track Produced by Smart Jr katika studio za “Zion record” 2016.
Oland “Naweza sema wimbo huu umekuwa wimbo wangu wa kwanza na umenipa
mwanga ambao ninaimani utanivusha kutoka apanilipo nakunifikisha sehemu
fulani ya mafanikio”.
Hivyo basi ukiwa kama shabiki wa muziki wa hapa home Tz tumia dakika
zako kadhaa kuisikiliza hii track hapa then ukimaliza tunakuomba
uendeleze suport kwa ajili ya kukuza sanaa ya “Oland” Cheers 2016.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment