Ligi kuu ya Hispania imeendelea tena jioni ya leo – huku Real Madrid na Elbar wakifungua pazia la mechi za leo.
Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo ameziteka tena ‘headlines’ za vyombo vya habari baada ya leo kuiongoza timu yake kupata ushindi wa magoli 3-0.
Ronaldo alifungua akaunti yake ya magoli leo kwa mkwaju wa adhabu ndogo katika dakika ya 21 ya mchezo huo – goli la leo limemfanya Ronaldo atimize magoli 38 katika La Liga msimu huu.
FC Barcelona wanaongoza ligi ya Spain wanacheza na Sevilla usiku huu.
Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee
unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA
pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3,
facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere.
AKSANTE.
No comments:
Post a Comment