10 April, 2015

Big Sean amchimba mkwara Justin Bieber.

justinbieber-bigsean
Rapa Big Sean amempiga mkwara msanii wa pop Justin Bieber baada ya msanii huyu kumbambia mpenzi wa rapa huyu ambaye ni mwimbaji Ariana Grande wakiwa kwenye show wakati wa ziara yake ya “Honeymoon Tour”  mjini L.A.
Ariana Grande alifanya nyimbo mbili na Justin ambazo ni “Love Me Harder” na “As Long As You Love Me”.
Big Sean aliandika Twitter “This kid is about to learn not to touch my girl like that. Beliebe that.


Mawerenewz.blogpot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA
Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Francis mawere the jr, Instagram>>>Zawadi_mawere. AKSANTE.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...