11 June, 2016
Movie: Warcraft
Video: Best Nasso – Ukweli uko Wapi?
Best Nasso moja kati ya wasanii wa bongo flava wanao zidi kufanya powa katika game la bongo flava, leo katuletea brand new Video inayo kwenda kwa jina la Ukweli Uko Wapi, ngoma ambayo imefanyiwa production na Mahwea Recods, huku Video ikisimamiwa na Kenny Ukiyz.
NEW VIDEO:”Ipo siku”,Goodluck Gozbert.
Goodluck Gozbert ni moja kati ya Watunzi na waandaji wa muziki wenye vipaji vya hali ya juu mno. Wengi Tumekuwa tukimfahamu kupitia kazi tofauti tofauti ikiwa ni pamoja na Kuandika baadhi ya nyimbo wasanii kama vile Mo-Music, Baraka da.Prince pamoja na wasanii wengine.
Katika Bongo Flava Tunamfahamu kama Loly Pop ila katika Gospel tunamtaja kama Goodluck Gozbert, na hapa katuletea video yake mpya inayokwenda kwa jina la "Ipo siku", video iliyofanywa na Adam Juma wa Vissual Lab.
Huu ni moja kati ya wimbo unaogusa na kuwapa tumaini tulio wengi, ambao hali zetu za kiuchumi, kielimu, maisha kwa ujumla wake ziko chini. Naweza sema kwamba hata mimi nmeguswa na wimbo huu. Angalia Video hiiyo hapo chini kisha mshirikishe Rafiki, ndugu na wapenzi.
| Goodluck Gozbert |
Huu ni moja kati ya wimbo unaogusa na kuwapa tumaini tulio wengi, ambao hali zetu za kiuchumi, kielimu, maisha kwa ujumla wake ziko chini. Naweza sema kwamba hata mimi nmeguswa na wimbo huu. Angalia Video hiiyo hapo chini kisha mshirikishe Rafiki, ndugu na wapenzi.
Video: Jike Shupa – Nuh Mziwanda Ft Ali Kiba
Baada ya kuchalia Audio week chache zilizopita na kupokelewa vyema katika familia ya bongo flava, basi hii ndiyo video ya Jike Shupa kutoka kwa Nuh Mziwanda akiwa amemsha vyema Alikiba. Producer wa wimbo ni Mr T Touch na Video ikifanywa Kwetu Studio.
10 June, 2016
Chid Benz Karudi Gym kuweka Body Sawa.
Hatiye Rapper Chid Benz(Chumaa) karudi Gym ili kuuweka mwili wake sawa na kuweka Body lake kurudi katika hali yake kama ilivyo kuwa hapo awali. Hii inakuja mara baada ya Rapper huyo kutoka Sober House huko Bagamoy siku chache zilizo pita.
#LETS DOIT HOMIE.
#LETS DOIT HOMIE.
Video: Sophia Grace-"Girl In the Mirror"
Imepita miaka mitano(5) sasa, tangu kuonekana katika show hiyo. Sophia Grace naye ana umri wa mika 13 kwa sasa ana anafanya Muziki wake, na Safari hii kaja na Ngoma mpya "Girl In the Mirror" aliyo mshirikisha Silento (yule wa "Watch Me (Whip/Nae Nae)"
TIZAMA VIEO HIYO HAPO CHINI "Girl In the Mirror"
Floyd Mayweather Afurahishwa na Kitendo cha Justine Beiber Kupigana.
Kwa muda mrefu sasa Justine Beiber amekuwa akifanya zoezi na Mabondia maarufu, lakini Mayweather amesema .. Katika mapigano hayo yeye alifurahishwa kwamba JB alionyesha kuwa na Moyo na sio kiwango chake.. "He showed he got heart."-Alisema.
Mayweather alisema kwamba, hafahamu ni kwa nini JB aliingia katika Vurugu hizo lakini the lesson is clear ... "Justin Bieber ain't no bitch."
TIZAMA KIPANDE HICHO KINACHO ONYESHA JB AKITWANGANA
Subscribe to:
Posts (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...