10 June, 2016

Chid Benz Karudi Gym kuweka Body Sawa.

Hatiye Rapper Chid Benz(Chumaa) karudi Gym ili kuuweka mwili wake sawa na kuweka Body lake kurudi katika hali yake kama ilivyo kuwa hapo awali. Hii inakuja mara baada ya Rapper huyo kutoka Sober House huko Bagamoy siku chache zilizo pita.

#LETS DOIT HOMIE.chidi benz

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...