#LETS DOIT HOMIE.
10 June, 2016
Chid Benz Karudi Gym kuweka Body Sawa.
Hatiye Rapper Chid Benz(Chumaa) karudi Gym ili kuuweka mwili wake sawa na kuweka Body lake kurudi katika hali yake kama ilivyo kuwa hapo awali. Hii inakuja mara baada ya Rapper huyo kutoka Sober House huko Bagamoy siku chache zilizo pita.
#LETS DOIT HOMIE.
#LETS DOIT HOMIE.
Labels:
Cellebs
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment