10 June, 2016

Floyd Mayweather Afurahishwa na Kitendo cha Justine Beiber Kupigana.

http://justrichest.com/wp-content/uploads/Floyd-Mayweather-2.jpg Bondia Floyd Mayweather amefurahishwa na kitendo cha Justine Beiber kupigana katiga moja ya vurugu siku ya juma tano usiku katika ukumbi wa Cleveland huko Marekani. Akiongea na TMZ, Mayweather alisema "He showed he ain't no bitch."

Kwa muda mrefu sasa Justine Beiber amekuwa akifanya zoezi na Mabondia maarufu, lakini Mayweather amesema .. Katika mapigano hayo yeye alifurahishwa kwamba JB alionyesha kuwa na Moyo na sio kiwango chake.. "He showed he got heart."-Alisema.

Mayweather alisema kwamba, hafahamu ni kwa nini JB aliingia katika Vurugu hizo lakini the lesson is clear ... "Justin Bieber ain't no bitch."  

 TIZAMA KIPANDE HICHO KINACHO ONYESHA JB AKITWANGANA

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...