Goodluck Gozbert |
Huu ni moja kati ya wimbo unaogusa na kuwapa tumaini tulio wengi, ambao hali zetu za kiuchumi, kielimu, maisha kwa ujumla wake ziko chini. Naweza sema kwamba hata mimi nmeguswa na wimbo huu. Angalia Video hiiyo hapo chini kisha mshirikishe Rafiki, ndugu na wapenzi.
No comments:
Post a Comment