01 June, 2015

Kanye West atarajia kupata mtoto wa pili baada ya ujauzito wa mke wake Kim Kardashian

Rapper Kanye West (37) na mke wake Kim Kardashian (34) wanatarajia kupata mtoto wa pili.
Baada ya majaribio ya miezi kadhaa ya kushika ujauzito wa pili, Kim ameweka wazi kuwa ni mja mzito kupitia reality show ya Keeping Up With The Kardashians alipomueleza mdogo wake Khloe Kardashian juu

Mbunge Augustino Mrema amelalamika tena kuhusu yaliyosemwa Jimboni kwake Vunjo !!

Voting
Ni zaidi ya mara mbili nasikia Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema akilalamika kuhusu kufanyiwa fitna na watu kwenye Jimbo lake la Vunjo, leo katika Kikao cha Bunge Dodoma amepewa nafasi tena.. kawasha kipaza sauti, kalalamika tena kuhusu anachofanyiwa Jimboni kwake.

Vin Diesel ameiweka wazi logo ya Fast and Furious 8 pamoja na mwaka watakayi iachilia movie hiyo

Hata hatujaisahau Fast and Furious 7, tumeletewa habari kwamba mwendelezo unaendelea wa mfululizo wa movie hizo kwenye sehemu ya 8 ambapo Fast 8 inatarajiwa kutoka April mwaka 2017.

31 May, 2015

Rio Ferdinand na hatma ya soka lake..

yeye
Akiwa bado kwenye majonzi makubwa ya mkewe aliyefariki duniani mwanzoni mwa mwezi huu, beki wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya England Rio Ferdinand ameweka wazi mikakati yake mipya katika mahojiano aliyoyafanya.

Waziri Nyalandu na mkewe Faraja kwenye jarida la bang time hii !

ba1Bang ni miongoni mwa Majarida ya Tanzania ambayo yamekuwepo kwenye headlines kwa muda mrefu ambapo time hii kuna toleo jipya ambalo Waziri wa mali asili Lazaro Nyalandu na mke wake ndio wamecover. Humo ndani wanazungumzia maisha yao, pia

R Kelly atangaza ujio wa album mpya

r-kelly-hln
Rnb legend R. Kelly ametangaza ujio wa album yake ya 14 iliyopewa jina The Buffet. Kelly alisema kwenye interview “Tegemea kitu ambacho hukutegemea kutoka kwake,  The Buffet ndio jina la album na kwamba ametumia muda mwingi kurekodi na mategemeo ni makubwa”

Flaviana Matata kwenye tangazo jingine tena New York Marekani.

123Ni Watanzania wengi sasa hivi yanatambua uwepo wa Mwanamitindo Flaviana Matata ambaye anaishi na kufanya kazi New York Marekani na amekua akiiwakilisha nchi yake vizuri tu pamoja na kuikumbuka kwa kusaidia kulipa ada za Wasichana wasiokua na

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...