31 May, 2015

Waziri Nyalandu na mkewe Faraja kwenye jarida la bang time hii !

ba1Bang ni miongoni mwa Majarida ya Tanzania ambayo yamekuwepo kwenye headlines kwa muda mrefu ambapo time hii kuna toleo jipya ambalo Waziri wa mali asili Lazaro Nyalandu na mke wake ndio wamecover. Humo ndani wanazungumzia maisha yao, pia
Waziri anazungumzia ishu yake ya kuutaka Urais wa Tanzania, amewazungumzia vijana wa Tanzania na mengine mengi hivyo ukiipata nakala yako utakutana pia na wengine akiwemo mtangazaji Sporah.bangDSC03145

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...