31 May, 2015

R Kelly atangaza ujio wa album mpya

r-kelly-hln
Rnb legend R. Kelly ametangaza ujio wa album yake ya 14 iliyopewa jina The Buffet. Kelly alisema kwenye interview “Tegemea kitu ambacho hukutegemea kutoka kwake,  The Buffet ndio jina la album na kwamba ametumia muda mwingi kurekodi na mategemeo ni makubwa”



Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...