09 July, 2016
Mlinda lango wa Arsenal Petr Cech ametangaza kuwa amestaafu katika soka la kimataifa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 ndiye mchezaji aliyelichezea sana taifa lake kupitia mechi 121 alizoshirikia tangu aanze mwaka 2002.
Alikuwa miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha Czech ambacho kilifika nusu fainali ya Euro2004 kabla ya kushindwa na mabingwa Ugiriki.
''Nilipokuwa mtoto,ndoto yangu ilikuwa kuchezea timu ya taifa hata japo mara moja,aliuambia mtandao wa Arsenal.''Baada ya kushiriki mara nyingi naona fahari'',alisema Cech.
Labels:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment