Collection hiyo kaipatia jina la MWANANA, ambapo amezsipatia jina hilo baada ya kusherekea upepo mwanana unaopatikana katika fukwe za Bahari ya Hindi ambapo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii hapa nchini.
09 July, 2016
Timazama collection mpya ya nguo za Martini Kadinda.
Wengi tunamfahamu martin Kadinda kwa ubunifu wa mavazi hapa nchini hasa kwa zile suti mahiri za single Button ambazo ndizo zilizomfanya kujulikana zaidi katika ulimwengu wa mitindo. Mnaomo June 7 alizindua Collection mpya ya nguo zake huko nchini Africa ya Kusini katika uwanja kimataifa wa mpira Cape Town.
Collection hiyo kaipatia jina la MWANANA, ambapo amezsipatia jina hilo baada ya kusherekea upepo mwanana unaopatikana katika fukwe za Bahari ya Hindi ambapo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii hapa nchini.


Collection hiyo kaipatia jina la MWANANA, ambapo amezsipatia jina hilo baada ya kusherekea upepo mwanana unaopatikana katika fukwe za Bahari ya Hindi ambapo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii hapa nchini.
Labels:
Fashions
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment