Kutoka Nigeria mpaka Kenya ni Yemi Alade akiwa na wakali wa muziki huko Kenya Sauti Sol wametuletea Video yao mpya inayokwenda kwa jina la Africa. Tangu Coke-studio watu hawa wamekua wakiwapa mashabiki wao burudani ya kutosha na safari hii wanazidi kutoa burudani ya kiwango kile kile. Enjoy.
08 July, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
C9 Records presents STAR by Foby!. Click DOWNLOAD button bellow to download this song.
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
No comments:
Post a Comment