Izzo Bizness anzidi Kufanya Vyema katika game la Bongo flava, kwani kila siku anazidi kuimarika na kutoa Video kali na muziki mzuri pia. Kwa sasa kaachilia video ya wimbo wa Dangerous Boy alomshirikisha Abela Music.
Video imetayarishwa na Nick Dizzo wa Focus Films,Tanzania na audio katayarisha Dupy wa Uprise Music Dar es Salaam, Tanzania.
08 July, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment