08 July, 2016
France yailaza Germany 2-0 nakutinga Fainali EURO 2016
Nusu fainali ya pili michuano ya EURO imemalizika leo pale walipokutana miamba miwili ya soka barani Ulaya yaani Mabingwa wa kombe la Dunia Germany dhidi ya wenyeji wa michuano ya Euro Ufaransa, huku mchezo huo kumalika kwa France Kupata magoli mawili na Gremany bila(Germany 0-2 France). Magoli ya Ufaransa yalitupiwa kambani na Mchezaji Antoine Griezman mnamo dakika ya 45 kwa penalt na dakika 72.
Kwa matokeo hayo yanaifanya team ya Ufaransa kutinga fainali ya michuano hiyo ambapo watakutana na Ureno ambao nao walikata ticket hiyo baada ya Kuibamiza Wales bao Mbili kwa nunge.
Tizama picha za matukio ya mchezo huo.
Bastian akionyweshwa kadi ya manjano baada ya kufanya madhambi.









Labels:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment