08 July, 2016

France yailaza Germany 2-0 nakutinga Fainali EURO 2016

Nusu fainali ya pili michuano ya EURO imemalizika leo pale walipokutana miamba miwili ya soka barani Ulaya yaani Mabingwa wa kombe la Dunia Germany dhidi ya wenyeji wa michuano ya Euro Ufaransa, huku mchezo huo kumalika kwa France Kupata magoli mawili na Gremany bila(Germany 0-2 France). Magoli ya Ufaransa yalitupiwa kambani na Mchezaji Antoine Griezman mnamo dakika ya 45 kwa penalt na dakika 72. 
Antoine Griezmann scored both goals as France beat Germany to reach the Euro 2016 final in Marseille on Thursday evening  Kwa matokeo hayo yanaifanya team ya Ufaransa kutinga fainali ya michuano hiyo ambapo watakutana na Ureno ambao nao walikata ticket hiyo baada ya Kuibamiza Wales bao Mbili kwa nunge.Griezmann celebrates after scoring from 12 yards in first-half stoppage time to send the host nation into the interval ahead Tizama picha za matukio ya mchezo huo. Schweinsteiger was booked by referee Nicola Rizzoli and Griezmann stepped up against Manuel Neuer from 12 yardsBastian akionyweshwa kadi ya manjano baada ya kufanya madhambi.Neuer struck his left-footed effort beyond the Bayern Munich goalkeeper to put France in frontĀ Neuer guessed the wrong way and Griezmann continued his hot streak in front of goal at the European ChampionshipFrance goalkeeper Hugo Lloris enjoys Griezmann's goal just before the break during a pulsating encounterFrance supporters celebrate wildly in the stands as DImitri Payet, Evra, Griezmann and Blaise Matuidi revel in their opening goalThe Atletico Madrid forward added a second for the hosts with 18 minutes left of the game, stabbing home from close rangeGermany's players look crestfallen as the French celebrate behind them in front of flying Tricolours as the host nation progressedFrance fans created an immense noise inside Stade Velodrome prior to kick-off as they looked for a rare tournament win over GermanyFrance coach Didier Deschamps and the rest of Les Bleus' backroom staff sing Le Marseillaise prior the game in MarseilleGriezmann leaps to head the ball as the host nation made a bright start to proceedings on the south coast of FranceMatuidi, starting in a holding midfield role alongside Paul Pogba, beats Tony Kroos to an aerial challengeMatuidi battles for possession with Emre Can, who was drafted in for his first start at Euro 2016 by Germany coach Joachim Low

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...