Mahali pekee utakapopata habari za Burudani,Michezo,Urembo udaku na Kuelimika
20 December, 2015
Shoo ya Diamond Platnumz kwenye Born2Win Concert nchini Uganda
msanii Diamond Platinum alitumbuiza kwenye tamsasha kubwa ‘Born 2 Win Concert’ jijIni Kampala, Uganda. Mbali na Diamond msanii Patoranking naye alitumbuiza kwenye tamasha hilo.
Hizi ni baadhi ya picha za Diamond akitumbuiza kwenye tamasha hilo.
No comments:
Post a Comment