25 December, 2015

Adele ataka collabo na Beyonce.

adele-new-song-19oct15
Mwimbaji mwenye mauzo makubwa zaidi kwenye muziki wa pop kwa sasa duniani Adele amefanyiwa mahojiano na jarida la Time na kuweka wazi kuwa alikuwa na mpongo mkubwa wa kufanya kazi na Beyonce kwenye album yake mpya ya 25.
Adele anasema aliongea na watu wa Beyonce na walipanaga kuendelea maongezi ila haikukamilika na album ilibidi itoke. Adele pia amekata kusema nani alifanya mpaka collabo hio ishindikane ila amesema bado mipango ipo.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...