22 July, 2015
Huu wimbo mpya wa Mr Blue ‘Changamoto’ usikilize hapa
21 July, 2015
Wasafi Records ya Diamond Platnumz kuanza kurekodi nyimbo bure kusaidia chipukizi..
Diamond Pltnumz ni mmoja ya wasanii wa Tanzania ambao wana mafaniko ya
kutosha, Diamond Platnumz kaamua kushare mafanikio yake kwa kufungua
studio ya muziki na kurekodi nyimbo bure kabisa kwa wasanii chipukizi
wasiokuwa na uwezo.
Kupitia kipindi cha Jump Off cha Timez fm Diamond Platnumz amesema “Wasafi
Records’ sio nimelenga biashara itakuwa uongo,Lakini hiyo studio
nilivyokuwa nimeiweka nimesema arekodiwe msanii yeyote mwenye kipaji,
akiwa mtu ana kipaji kizuri ana nyimbo nzuri mrekodie mpe. Lakini pia
iko na kibiashara kwa wasanii wengine sio msanii ameshatoka aje pale
aimbe bure,kuna wasanii ambao watakuwa chini ya management yangu chini
ya kampuni yangu mfano huyu anaitwa Hamonizer”.
NICKI MINAJ ATINGA CLUB BILA WALINZI..!!!
Rapper wa kike Nicki Minaj ameingia kwenye stori kubwa baada ya
kwenda klabu bila kuwa na ulinzi huku akiambatana na mpenzi wake Meek
Mill, kwa kitendo hiko kimepelekea watu wengi kumshangaa staa huyo
kutinga Hollywood nightclub akiwa na beau Meek Mill
Mbali na kufanya hivyo ilikuwa ni maangalizi kuwa ana maadui kwake au marafiki ambao wanapenda kazi zake, hiko ndio kipimo tosha kwa mtu maarufu duniani kujiangalia kuwa unapendwa vipi na kujua nini mtaa unataka.
Mbali na kufanya hivyo ilikuwa ni maangalizi kuwa ana maadui kwake au marafiki ambao wanapenda kazi zake, hiko ndio kipimo tosha kwa mtu maarufu duniani kujiangalia kuwa unapendwa vipi na kujua nini mtaa unataka.
How To Become A Woman That Every Man Desires (Regardless Of Your Appearance)
Whether you are single and serially first-dating, or you are struggling with a distant boyfriend who you want to open up to you, or you want to get that ex boyfriend back – Alex Carter has got a technique for you!
Alex Carter is a well-known relationship expert and dating coach. He has dedicated his life to the art of helping women get their dream man by studying the art of attraction and developing a system to help women in every situation get the man they want. He has compiled all of his research and knowledge into an easy to read e-book: ‘Make Him Desire You’.
If you are interested in learning some unconventional ways to get a guy attracted to you. If you have relationship problems and want to fix them, or if you simply want to understand men in general better, then this book is for you.
Make the man of your dreams desire you
* P.S At the very end of this presentation, you will also discover a man’s most intense and secret desire, that he never shares with any woman.
Man City yaichapa AC Roma kwa penalti 5 kwa 4
Klabu ya Manchester City imeshuka dimbani leo hii kucheza mechi yake ya kwanza ya michuano ya International Champions Cup dhidi ya AS Roma ya Italia… Michuano hiyo inayoandaliwa na Audi inafanyika Australia katika Uwanja wa Melbourne Cricket Ground na kushirikisha jumla ya timu tatu za Real Madrid, AS Roma na Man City.
Man City imeshinda mechi yake ya kwanza dhidi ya AS Roma ya Italia kwa mikwaju ya penati 5 kwa 4 baada ya mchezo kumalizika kwa sare ya goli 2-2… magoli yaliofungwa na Raheem Sterling dakika ya 3 na Kelechi Iheanacho dakika ya 51 kwa upande wa Man City huku yale ya AS Roma yakifungwa na Miralem Pjanic dakika ya 8 na Adem Ljajic 87.
Huu pia ni mchezo wa kwanza kwa Raheem Sterling toka ajiunge na klabu ya Man City akitokea Liverpool kwa dau la pound milioni 49.
Nimekusogezea picha na video za magoli mtu wangu.
Raheem Sterling akishangilia goli alilofunga katika mchezo wake wa kwanza na Man City.
Penalti zote hizi hapa
Mapokezi ya Diamond toka kwenye ushindi wa MTV MAMA yamduwaza Yemi Alade
Mapokezi aliyoyapata Diamond Platnumz baada ya kurejea jana kutoka
nchini Afrika Kusini alikoenda kuhudhuria tuzo za MTV MAMA, yalikuwa
makubwa kiasi cha kumshangaza msanii wa Nigeria, Yemi Alade.
Diamond alishinda tuzo ya Best Live Act huku Yemi Alade akishinda ile ya Best Female Act aliyokuwa akishindana na Vanessa Mdee na wasanii wengine.
Yemi Alade ambaye ameshawahi kumshirikisha Diamond, amerepost kipande cha video kinachomuonesha Diamond akibebwa juu juu na mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa hamu kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julias Nyerere jijini Dar es Salaam na kuandika, “Kai chibu @diamondplatnumz the ultimate man! The love for you in Tanzania is not only ONLINE BUT VERY PHYSICAL !! WELLDONE BRO”
Yemi amedai kuwa ukubwa wa upendo anaopata Diamond sio wa mtandaoni peke yake bali hata katika mazingira ya kawaida.
Ushindi wa Diamond kwenye tuzo hizo umepokelewa kwa furaha kubwa na mashabiki wengi wa muziki nchini.
Diamond alishinda tuzo ya Best Live Act huku Yemi Alade akishinda ile ya Best Female Act aliyokuwa akishindana na Vanessa Mdee na wasanii wengine.
Yemi Alade ambaye ameshawahi kumshirikisha Diamond, amerepost kipande cha video kinachomuonesha Diamond akibebwa juu juu na mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa hamu kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julias Nyerere jijini Dar es Salaam na kuandika, “Kai chibu @diamondplatnumz the ultimate man! The love for you in Tanzania is not only ONLINE BUT VERY PHYSICAL !! WELLDONE BRO”
Yemi amedai kuwa ukubwa wa upendo anaopata Diamond sio wa mtandaoni peke yake bali hata katika mazingira ya kawaida.
Ushindi wa Diamond kwenye tuzo hizo umepokelewa kwa furaha kubwa na mashabiki wengi wa muziki nchini.
OFFICIAL: HAYA NDIO MABADILIKO MAPYA YA VPL…
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania
(VPL) itaanza Sept 12 badala ya Agosti 22 ili kumpa Charles Mkwasa fursa
ya kuendelea na program yake kuelekea mechi ya Taifa Stars dhidi ya
Nigeria itakayochezwa Sept 5.
Mechi ya Ngao ya Jamii (Community
Shield) itakayozikutanisha Azam FC dhidi ya Yanga SC sasa itachezwa
Agosti 22 badala ya Agosti 15.
Ratiba ya Ligi Kuu iliyokuwa
imeandaliwa, sasa inafanyiwa marekebisho kwa ajili ya tarehe mpya ya
kuanza, ambapo pamoja na mambo mengine mechi sasa zitachezwa wikiendi na
katikati ya wiki na wikiendi ya Oct 25 hakutakuwa na mechi kupisha
Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge.
Klabu za Ligi Kuu zimeandikiwa barua kujulishwa tarehe mpya ya kuanza Ligi, na dirisha la usajili linabaki kama lilivyo.
Wamiliki wa viwanja vyenye
upungufu wameandikiwa barua kutakiwa kurekebisha upungufu katika muda
maalumu, vinginevyo havitaruhusiwa kutumika kwa ajili ya PL na FDL.
Timu ya Madini ya Arusha
imeruhusiwa kutumia Uwanja wa Nyerere uliopo Mbulu mkoani Manyara kwa
mechi za SDL kwa masharti upungufu uliopo kwenye uwanja huo urekebishwe
kwanza.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
