21 July, 2015

NICKI MINAJ ATINGA CLUB BILA WALINZI..!!!

Rapper wa kike Nicki Minaj ameingia kwenye stori kubwa baada ya kwenda klabu bila kuwa na ulinzi huku akiambatana na mpenzi wake Meek Mill, kwa kitendo hiko kimepelekea watu wengi kumshangaa staa huyo kutinga Hollywood nightclub akiwa na beau Meek Mill
Mbali na kufanya hivyo ilikuwa ni maangalizi kuwa ana maadui kwake au marafiki ambao wanapenda kazi zake, hiko ndio kipimo tosha kwa mtu maarufu duniani kujiangalia kuwa unapendwa vipi na kujua nini mtaa unataka.

2A96B2CB00000578-0-image-m-2_1437109459238 2A94FA6700000578-0-image-a-20_1437110473961 2A96B32B00000578-0-image-m-8_1437109632002 2A94F68100000578-0-Bottoms_up_No_doubt_the_hard_working_pair_were_looking_forward_t-a-33_1437112722487

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...