Mbali na kufanya hivyo ilikuwa ni maangalizi kuwa ana maadui kwake au marafiki ambao wanapenda kazi zake, hiko ndio kipimo tosha kwa mtu maarufu duniani kujiangalia kuwa unapendwa vipi na kujua nini mtaa unataka.
21 July, 2015
NICKI MINAJ ATINGA CLUB BILA WALINZI..!!!
Rapper wa kike Nicki Minaj ameingia kwenye stori kubwa baada ya
kwenda klabu bila kuwa na ulinzi huku akiambatana na mpenzi wake Meek
Mill, kwa kitendo hiko kimepelekea watu wengi kumshangaa staa huyo
kutinga Hollywood nightclub akiwa na beau Meek Mill
Mbali na kufanya hivyo ilikuwa ni maangalizi kuwa ana maadui kwake au marafiki ambao wanapenda kazi zake, hiko ndio kipimo tosha kwa mtu maarufu duniani kujiangalia kuwa unapendwa vipi na kujua nini mtaa unataka.
Mbali na kufanya hivyo ilikuwa ni maangalizi kuwa ana maadui kwake au marafiki ambao wanapenda kazi zake, hiko ndio kipimo tosha kwa mtu maarufu duniani kujiangalia kuwa unapendwa vipi na kujua nini mtaa unataka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Yule mkali wa Rnb Rama Dee katuletea ngoma mpya "Kipenda Roho" Bofya ku Download Music: Rama Dee - Kipenda Roho.
No comments:
Post a Comment