21 July, 2015

Man City yaichapa AC Roma kwa penalti 5 kwa 4

hqdefault
Klabu ya Manchester City imeshuka dimbani leo hii kucheza mechi yake ya kwanza ya michuano ya International Champions Cup dhidi ya AS Roma ya Italia… Michuano hiyo inayoandaliwa na Audi inafanyika Australia katika Uwanja wa Melbourne Cricket Ground na kushirikisha jumla ya timu tatu za Real Madrid, AS Roma na Man City.
Generated by  IJG JPEG Library
Man City imeshinda mechi yake ya kwanza dhidi ya  AS Roma ya Italia  kwa mikwaju ya penati 5 kwa 4 baada ya mchezo kumalizika kwa sare ya goli 2-2… magoli yaliofungwa na Raheem Sterling dakika ya 3 na  Kelechi Iheanacho dakika ya 51 kwa upande wa Man City huku yale ya AS Roma yakifungwa na  Miralem Pjanic dakika ya 8 na Adem Ljajic 87.
Generated by  IJG JPEG Library
Huu pia ni mchezo wa kwanza kwa Raheem Sterling toka ajiunge na klabu ya Man City akitokea Liverpool kwa dau la pound milioni 49.
Nimekusogezea picha na video za magoli mtu wangu.
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Raheem Sterling akishangilia goli alilofunga katika mchezo wake wa kwanza na Man City.
Hapa kuna video zinazoonesha magoli yote yalivyofungwa.
Penalti zote hizi hapa

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...