21 July, 2015
Wasafi Records ya Diamond Platnumz kuanza kurekodi nyimbo bure kusaidia chipukizi..
Diamond Pltnumz ni mmoja ya wasanii wa Tanzania ambao wana mafaniko ya
kutosha, Diamond Platnumz kaamua kushare mafanikio yake kwa kufungua
studio ya muziki na kurekodi nyimbo bure kabisa kwa wasanii chipukizi
wasiokuwa na uwezo.
Kupitia kipindi cha Jump Off cha Timez fm Diamond Platnumz amesema “Wasafi
Records’ sio nimelenga biashara itakuwa uongo,Lakini hiyo studio
nilivyokuwa nimeiweka nimesema arekodiwe msanii yeyote mwenye kipaji,
akiwa mtu ana kipaji kizuri ana nyimbo nzuri mrekodie mpe. Lakini pia
iko na kibiashara kwa wasanii wengine sio msanii ameshatoka aje pale
aimbe bure,kuna wasanii ambao watakuwa chini ya management yangu chini
ya kampuni yangu mfano huyu anaitwa Hamonizer”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment