03 June, 2015

Gundogan anatarajiwa kutangazwa na Manchester united kuwa mchezaji mpya wa club hiyo

11a
Usajili ndio mpango mzima hivi sasa huko Ulaya. Manchester united imewashinda Bayern Munich na Barcelona kwenye vita ya kupaya saini ya mchezaji wa Borussia Dortmund.
Mchezaji huyo ambae anacheza sehemu ya midfield amesakubaliana mambo ya msingi na

Takwimu mpya zimetoka zikionyesha club gani imeingiza kiasi gani kwa msimu uliopita wa 2014/2015

DXB2
Takwimu mpya zimetoka zikionyesha club gani imeingiza  kiasi gani kwa msimu uliopita  wa2014/2015.Mpangilio wa table ya ligi haujalishi kwenye swala la kuingiza pesa nyingi. Mfano Manchester united kwenye ligi imekua ya nne lakini kwneye listi ya kuingiza pesa nyingi imekua ya tatu. Liverpool kwenye ligi imekua ya

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF leo limezindua jezi mpya za timu za Taifa,

MALIZI3
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF leo limezindua jezi mpya za timu za Taifa, zitakazokuwa zikitumika na timu za Taifa katika michuano mbali mbali itakayokua inazikabili.Uzinduzi huo wa jezi mpya uliofanyika katika ukumbi wa Kilimanjaro jengo la Golden Jubilee uliambatana na uziduzi wa tovuti mpya ya

Video: Abizzy Ft Davido - 'Sugar' Remix


Abizzy Ft Davido - FreeTown4Ever Entertainment Drop the remix video of Abizzy's hit single "Suga" Featuring davido. Produced by Nashito Kulala, mixed and mastered by Giggz and Directed by Dang Films. PLAY IT HERE>>>>>>>>

02 June, 2015

Video: Nicki Minaj na Meek Mill wameachana baada ya mahusiano yaliyo dumu miezi michache tu!

 
Tetesi zimezidi kusambaa weekend ya mwisho wa mwezi May kuwa Nicki Minaj na Meek Mill wameachana, Kumekuwa na post chache kwenye acount zao za Gram ambazo zimeleta mtazamo kwa kila mmoja aliye ziona kutokana na caption walizo andika nakusabaisha kukuza tetesi hizo.

Video ya collabo ya Iyanya na Diamond Platnumz

Diamond
Ni Hit baada ya Hit.. Jina la staa anayeiwakilisha poa TZ kwenye muziki Afrika na nje ya mipaka limerudi tena kwenye Headlines.. Diamond aliwahi kusema kwamba hii collabo yake na Iyanya ni ya muda mrefu sana, lakini baadae ikavuja audio.. baadae tukaona pichaz za behind the scenes, na

Baba yake Kim kardashian Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin


Mnamo mwezi Aprili Bruce Jenner alijibadilisha maumbile katika mahojiano na Diane Sawyer wa ABC.Mnamo mwezi Mei Jenner mwenye umri wa miaka 65 alijadiliana na familia yake kuhusu hatua yake ya kujibadili maumbile katika kipindi cha ''keeping up with the Kardashians''.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...