02 June, 2015
Baba yake Kim kardashian Bruce Jenner sasa ajiita Caytlin
Mnamo mwezi Aprili Bruce Jenner alijibadilisha maumbile katika mahojiano na Diane Sawyer wa ABC.Mnamo mwezi Mei Jenner mwenye umri wa miaka 65 alijadiliana na familia yake kuhusu hatua yake ya kujibadili maumbile katika kipindi cha ''keeping up with the Kardashians''.
Sasa Jenner yuko tayari kujitangaza kama Caitlyn kwa ulimwengu.
Katika picha iliopgwa na Annie Leibovitz,picha ya mwanariadha huyo wa zamani ilichapishwa katika jarida la Vanity na ndani ya gazeti hilo ,jenner anaweka wazi maumbile yake mapya.
Baada ya kupata wafuasi zaidi ya milioni moja kwa mda wa saa nne ,Caitlyn Jenner amevunja rekodi ya mtandao wa twitter kulingana na rekodi za dunia za Guiness.Amemshinda Barrack Obama aliyeshikilia taji hilo kwa wiki mbili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment