12 April, 2015

Dawa za kulevya:Nelly mashakani


Mshindi wa tuzo ya Grammy mwanamuziki Cornell Haynes ama kwa jina maarufu Nelly amekamatwa na shtaka la mihadarati baada ya polisi kusimamisha basi alilokuwa akisafiria mjini Tennessee nchini Marekani.
Alikamatwa kwa kuwa basi hilo halikuwa na vibandiko halali kabla ya kuchunguzwa kutokana na harufu ya bangi iliokuwa ikinuka.

Justin Bieber akamatwe


Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber siku ya ijumaa akisema kuwa mwimbaji huyo alikataa kufika mbele yake kuhusiana na madai kwamba aliwaagiza walinzi wake kumshambulia mpiga picha mmoja mwaka 2013.

BAADA YA CHELSEA KUSHINDA MSIMAMO UKO HIVI


Cesc Fabregas arrives late on to convert Eden Hazard's pass and secure all three points for Chelsea at Loftus Road
Bao la dakika za usiku la Cesc Fabregas limeiwezesha Chelsea kuvuna pointi tatu katika mechi ya ligi kuu soka nchini England ugenini dhidi ya Queens Park Rangers (QPR).
Fabregas alifunga goli hilo pekee dakika ya 88′ katika mechi iliyopigwa jioni ya leo uwanja wa Loftus Road.
Ushindi huo umewafanya.....

Man United yaifunga Mancity 4-1

epl 3
Manchester United ilipanda tena katika nafasi ya tatu katika jedwali la ligi ya Uingereza ikiwa pointi moja nyuma ya Arsenal baada ya kuwacharaza mahasimu wao wa jadi Manchester City mabao 4-2.
Sergio Aguerro alikuwa wa kwanza kuiweka City kifua mbele lakini vijana wa Old Trafford walisawazisha kupitia Ashley Young .

Vikosi vinavyotarajiwa kuanza leo kwenye ‘Dabi’ ya Manchester

MoS2 Template Master
MECHI TATU ZA  MANUEL PELLEGRINI 3 v MANCHESTER UNITED 0
Kocha wa  Manchester City,  Manuel Pellegrini ana rekodi ya ushindi ya asilimia 100 katika mechi zote 3 alizokutana na Manchester United tangu arithi mikoba Roberto Mancini.
Manchester City 4-1 Manchester United, Septemba 2013
Sergio Aguero alifunga magoli mawili katika ushindi wa kwanza wa Pellegrini katika mechi ya watani hao wa jadi, wakati kocha mwingine aliyekuwa anaiongoza kwa mara ya kwanza United kwenye mechi ya mahasimu, David Moyes alishuhudia Man United ikisambaratishwa.
Manchester United 0-3 Manchester City, Machi 2014 
Edin Dzeko alifunga baada ya sekundu 45 tu Old Trafford na baadaye aliongeza la pili na kuifanya City imalize msimu kwa kuichapa Man United mara mbili.
 Pellegrini labda anaweza kufikiria kumuanzisha leo Mbosnia huyo.
Manchester City 1-0 Manchester Utd 0, Novemba 2014 
Kocha mpya Manchester United matokeo yale yale. Aguero alifunga goli pekee la ushindi

MAGAZETINI APRIL 12 JUMA PILI

Image result for sunday newsMWANANCHI
Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.

Justin Timberlake na Jessica Biel

boyJustin Timberlake na Jessica Biel ni miongoni mwa mastaa ambao wapo kwenye uhusiano na kimapenzi na wamejipatia mashabiki wengi Hollywood, na sasa ni zamu yao kukaa kwenye headlines.

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...