07 August, 2016

New Music: Chin Bees – Zuzu

Kwa siku kadhaa za hivi karibuni, msanii huyu amekua akisikika vilivyo kwenye ngoma mbali mbali akiwa ameshirikisha kama vile ngoma ya Sweet Mangi yake Nick wapili. Safarii hii jamaa kausimamia mzigo peke yake na ngoma inakwenda jina la Zuzu iliyotayarishwa na Young Keezy na Luffa katika studio za Switch Records. Bofya HAPA kuushusha wimbo huo.
 AU 
loading...

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...