10 August, 2016

Drake amtaja J-cole kama Legendary wa kizazi cha sasa

Drake Rapper anae zidi kufanya poa katika game ya muziki nchini marekan Drake amemtaja  Mwanamuziki J.Cole kama Legendari wa kizazi cha sasa, Akiwa katika show ya Fainali za MSG ambazo zilihudhuriwa na wasanii kibao kama vile Julez Santana, Cam’ron, Fat Joe, na Remy Ma , Drake alisema  
"You are looking at one of the smartest, greatest, most legendary artists of our generation.".
Tizama video fupi ya show hiyo hapo chini

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...