Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa ni picha za red carpet yake.
Jionee mambo yalivyokua
25 February, 2016
Vazi la mwanamitindo wa Afrika lavaliwa na mcheza densi wa Beyonce
Mwanamtindo wa Ivory Coast ,Loza
Maleombho amejipatia sifa baada ya mtindo wake mmoja kuonekana kwenye
kanda mpya ya video ya mwanamuziki nyota wa Marekani Beyonce.
Vazi hilo limevaliwa na mwanadensi katika video hiyo ya mwanamuziki huyo Marekani.Bi. Maleombho alianza kazi yake ya mitindo huko mjini New York, lakini baadaye akahamia Ivory Coast.
Mitindo yake imeenea nchini Nigeria , Uingereza na Marekani.
UEFA:Man City yaichapa Dynamo Kiev 3-1
Michuano ya klabu bingwa barani
Ulaya imeendelea tena usiku wa Jumatano kwa michezo miwili , Ambapo
Klabu ya soka ya Manchester city imefanikiwa kuchomoza na ushindi mnono
wa magoli 3-1 dhidi ya Dynamo Kiev .
Magoli ya Manchester city
katika mchezo huo yamefungwa na wachezaji Sergio Aguero dk15 , David
Silva dk 40, huku bao la tatu likifungwa na Yahya Touré dk 90.Kwa upande wa Dynamo Kiev bao lao la kufutia machozi limefungwa na Vital Buyal-sky dk 58
Katika mchezo mwingine Psv Eindhovein wakiwa nyumbani wametoshana nguvu na Atletico Madrid kufuatia sare tasa ya bila kufungana.
Michuano hiyo itaendelea tena March 8, 2016 kwa mechi mbili ambapo Real Madrid itaikaribisha Fc Roma na VfL Wolf- Sburg ikichuana na KAA Gent.
Ebola ina madhara ya muda mrefu
Kikundi cha watafiti wa wahanga wa
ugonjwa wa Ebola nchini Liberia wamebaini kuwa wengi kati yao
walisumbuliwa na tatizo la akili baada ya kuathirika na virusi vya
Ebola.
Watafiti kutoka serikali ya marekani wanatafiti juu ya
athari za muda mrefu ambazo wamezimeangalia kwa watu 82 waliopona
ugonjwa wa Ebola na kubaini kuwa mbili ya tatu wamesumbuka na tatizo la
kudhoofika,kuumwa kichwa,kupoteza kumbukumbu na kuwa dalili za kuwa na
huzuni.
24 February, 2016
Jay Z & Beyoncé wanatazamiwa kufanya HICHI
Katika kipindi chote cha kazi zao, wawili hao wamefanikisha mengi. The The Grammy-laced, wanandoa hao wabunifu hivi karibuni wanaweza panda tena. Kulingana na Hits Daily Double wazazi hawa watakua wakifanyia kazi mzigo mpya ama kitu kipya kikubwa.Queen B alidai umakini katika nusu ya performance ya Super Bowl 50. Within hours of that performance she completely sold out her Formation stadium tour. Kuna tetesi kwamba ndio kwaanza anaanza.
In April, the Houston native is scheduled to drop her final contractual release for Sony Music. Having fulfilled her obligations, B is reportedly set to negotiate a “new worldwide, multi-album deal” with her label. Understanding and appreciating their entrenched integrity, it has been suggested that this year the power couple will drop their first “joint project.”
NYC Unites: French Montana Gets A$AP Rocky For “Off The Rip (Remix)”
These are arguably two of the most poppin acts in NYC right now. And
despite the fact that Rocky and French probably spend most of their time
on the road or in LA, this is a big song for NYC. Lets see where this
one goes!
Subscribe to:
Posts (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...







































