25 February, 2016

Ebola ina madhara ya muda mrefu


Kikundi cha watafiti wa wahanga wa ugonjwa wa Ebola nchini Liberia wamebaini kuwa wengi kati yao walisumbuliwa na tatizo la akili baada ya kuathirika na virusi vya Ebola.
Watafiti kutoka serikali ya marekani wanatafiti juu ya athari za muda mrefu ambazo wamezimeangalia kwa watu 82 waliopona ugonjwa wa Ebola na kubaini kuwa mbili ya tatu wamesumbuka na tatizo la kudhoofika,kuumwa kichwa,kupoteza kumbukumbu na kuwa dalili za kuwa na huzuni.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...