Kikundi cha watafiti wa wahanga wa
ugonjwa wa Ebola nchini Liberia wamebaini kuwa wengi kati yao
walisumbuliwa na tatizo la akili baada ya kuathirika na virusi vya
Ebola.
Watafiti kutoka serikali ya marekani wanatafiti juu ya
athari za muda mrefu ambazo wamezimeangalia kwa watu 82 waliopona
ugonjwa wa Ebola na kubaini kuwa mbili ya tatu wamesumbuka na tatizo la
kudhoofika,kuumwa kichwa,kupoteza kumbukumbu na kuwa dalili za kuwa na
huzuni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment