25 February, 2016

Vazi la mwanamitindo wa Afrika lavaliwa na mcheza densi wa Beyonce


Mwanamtindo wa Ivory Coast ,Loza Maleombho amejipatia sifa baada ya mtindo wake mmoja kuonekana kwenye kanda mpya ya video ya mwanamuziki nyota wa Marekani Beyonce.
Vazi hilo limevaliwa na mwanadensi katika video hiyo ya mwanamuziki huyo Marekani.
Bi. Maleombho alianza kazi yake ya mitindo huko mjini New York, lakini baadaye akahamia Ivory Coast.
Mitindo yake imeenea nchini Nigeria , Uingereza na Marekani.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...