24 February, 2016

Jay Z & Beyoncé wanatazamiwa kufanya HICHI

Jay Z, Beyonce, Hov, Bey, Queen B, Bey Katika kipindi chote cha kazi zao, wawili hao wamefanikisha mengi. The The Grammy-laced, wanandoa hao wabunifu hivi karibuni wanaweza panda tena. Kulingana na  Hits Daily Double wazazi hawa watakua wakifanyia kazi mzigo mpya ama kitu kipya kikubwa.
 Queen B alidai umakini  katika nusu ya performance ya Super Bowl 50. Within hours of that performance she completely sold out her Formation stadium tour. Kuna tetesi kwamba  ndio kwaanza anaanza.
In April, the Houston native is scheduled to drop her final contractual release for Sony Music. Having fulfilled her obligations, B is reportedly set to negotiate a “new worldwide, multi-album deal” with her label. Understanding and appreciating their entrenched integrity, it has been suggested that this year the power couple will drop their first “joint project.”

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...