08 June, 2015

Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya zaidi ya $1 billion

list cover
Licha ya kuchukua ubingwa wa UEFA lakini bado thamani ya brand yake sio kubwa zaidi ya club tano juu yake. Barcelona imechukua UEFA lakini kwenye list ya biggest brands in football.
Kwa mara ya kwanza Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya

Tabia 10 zinazoharibu ubongo


Je wafahamu tabia zinazoweza kuharibu ubongo wako?

Fahamu rekodi ya kipekee Andres Iniesta

29692D0A00000578-0-image-a-25_1433763633541
Unapozungumzia ubora wa mchezaji si wengi wanaweza kubishana na ukweli kwamba Andres Iniesta ni moja kati ya viungo bora kwneye soka la kimataifa na ameweza kubakia katika ubora na kiwango cha juu kwa muda mrefu  bila kushuka.

07 June, 2015

karibu na Video mpya ya Q Chief ‘For You’ (Mdogo Mdogo) iko hapa

qchiefHii video mpya ya Q Chief  ‘For You’ imetayarishwa na Adam Juma Huku Audio ikatengenezwa na MAZUU. Ni ujio Mwengine wa chila Bonyeza PLAY KUIONA VIDEO HI>>>>>>>>>>>>>>>
dudubaya1Baada ya kubadilisha jina msanii wa rapa kutoka Tanzania Mamba Dudubaya ametoa wimbo mpya uliopewa jina ‘Tuwachore kwa Jicho’. Bonyeza play kuisikiliza HAPA HAPA MTOKA MBALI>>>>>>

Chris Brown alivyong’ang’ania kuingia kwenye gari la X Wake Karrueche Tran.

karrueche-cb-fight
Drama za Chris Brown na X wake Karrueche Tran zimeendelea baada ya wawili hawa kujikuta wamekaa kwenye meza jirani kwenye club kubwa ya Playhouse huko Hollywood na wote kuamua kuodoka kwa wakati mmoja kuepuka ugomvi.

Video: 'Rose' aliye tangaza kuwa na ujauzito wa Nuh Mziwanda akabiliana naye pamoja na Shilole live kwenye FNL

Utata kuhusiana na sakata zima la taarifa za Nuh Mziwanda kumtia mimba mchepuko, na kusababisha vita kali kati yake na Shilole ambaye ni mpenzi wake, limepatiwa ufumbuzi usiku wa jana katika show kali ya burudani ya Friday Night Live.Kama ulipitwa, picha zima kuhusiana na sakata hili lilianza kwa

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...