11 May, 2015

MAGAZETINI LEO MAY 11

Image result for NEWS UPDATENIPASHE
Hali ndani ya Chama cha Tanzania Labour Party ‘TLP’ imezidi kuwa tete baada ya Mwenyekiti wake Augustino Mrema kuwafuta wanachama wake 10 kwa madai kuwa wanakisaliti chama.
Hata hivyo wanachama waliofukuzwa hawakuweza kupatikana kuelezea ni sababu gani zilizosababisha wafukuzwe na

10 May, 2015

Jumba la kifaharia walionunua Jay Z na Beyonce,16 hizi.

jayz 10
Baada ya kutajwa na jarida la Forbes kuwa miongoni mwa wasanii wa hiphop wenye mali na matajiri zaidi Jayz na mke wake Beyonce wamehamia kwenye jumba la kifahari lenye thamani ya pauni milioni 2.6. Jumba hilo lipo New Orleans Garden, Marekani. Nyumba inavyumba 22.

wakati YANGA na AZAM wakifurahia ubingwa, stand united washereke KUBAKI LIGI KUU.

IMG-20150509-WA0024

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV. Hizi ni baadhi ya picha

Emannuel Adebayor ameendelea KUTOA STORY YA FAMILIA YAKE PART 2

NBNB
Emannuel Adebayor ameendelea kuelezea yale ambayo tulikua hatuyajui yanaendelea nyumba ya pazia kwenye maisha yake. Sasa leo ametoa part 2 lakini pia ametoa ahadi ya kuendelea part 3. Hii hapa ni tafsiri ya post yake.
Hii ni sehemu nyingine ya story ambayo nilikaa nayo

MATUMAINI YA D MARIA UNITED NI MACHACHE;;

di
Manchester United imemsajili winga wa PSV Memphis Depay kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo msimu ujao wa ligi kuu na huenda ikamtema mchezaji wao Angel Di Maria.
Lakini klabu ya Paris Saint-Germain ‘PSV’ ya Ufaransa imesema ipo tayari kumchukua mchezaji huyo kwa

SIKILIZA MDUNDO HUU KUTOKA KWA RAPA YOUNG THUG.... love me

Image result for YOUNG THUGnimekueke hapa mdundo huu kutoka kwa young thug love isikilize na umpatie mchizi wako hapa hapa MWERE MTOKA MBALI. >>>>>>>http://www.soundpiff.com/track/10362-young-thug---love-me-no-dj-

Msanii wa Timbaland Tink arudia Huu wimbo wa Aaliyah.

tink-ws-1440
Akiwa kwenye harakati za kumtangaza msanii wake mpya ‘Tink’ Producer  Timbaland, amempa ruhusa ya kufanya remix ya wimbo wa marehemu Aaliyah “One In A Million.”

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...