Kutoka kwenye album ya Beyonce,’LEMONADE’, hii ni ngoma nyingine inayoitwa ”Sorry” ambayo mwana mama Beyonce kaiachilia. ’LEMONADE ni Album inayo fanya vizuri katika soko na chart mbali mbali ulimwenguni. Mpaka sasa Album hiyo imefanikiwa kuuzwa kwa zaidi ya nakala Milion Moja.
No comments:
Post a Comment