Kutoka kwenye album ya Beyonce,’LEMONADE’, hii ni ngoma nyingine inayoitwa ”Sorry” ambayo mwana mama Beyonce kaiachilia. ’LEMONADE ni Album inayo fanya vizuri katika soko na chart mbali mbali ulimwenguni. Mpaka sasa Album hiyo imefanikiwa kuuzwa kwa zaidi ya nakala Milion Moja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment