24 June, 2016

Music: Papa Wemba Ft Diamond Platnumz – Chacun Pour Soi

Kwa sasa hayupo nasi maana amekwisha tangulia mbele za haki ila kazi zake zitazidi kusikika masikioni mwetu. Anaitwa Papa wemba, moja kati ya malegendary wa muziki walio wahi kuishi na hii ndiyo ngoma yake aliyo fanya week chache kabla ya Mauti kumpata ‘Chacun Pour Soi’ amemshirikisha Diamond Plutnum.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...