27 April, 2016

Cellebs 10 maarufu waliogundulika kuwa na HIV/AIDS nchini Marekani.

Wapo mastar wengi mno duniani waliyo endekeza bata na mwisho wa siku kuishia kukanyaga miwaya (Kupata UKIMWI.) ila wamekua mstari wa mbele kuhamasisha jamii zao juu ya Gonjwa hili hatari ambalo limemeza wengi na ndio hasa chanzo cha ongezeko la watoto wa mitaani na Yatima.
Leo nitakupa angalao mastar 10 walio kugundulika kua wameambukizwa Virusi vya UKIMWI.

1.Kevin Peter Hall

Kevin Peter Hall Kwa wale wapenzi wa movies mtakua mnamfahamu huyu jamaa, alicheza kwenye movie ya 'Predator'. Aliambukizwa Virusi vya UKIMWI kwa njia ya kuwekewa damu(blood transfusion) na baadae aliugua Homa ya Mapafu(pneumonia) na kuiga Dunia.





2.Magic JohnsonNo. 17 Magic Johnson Mcheza kikapu maarufu nchini marekani "Magic Johnson" aligundulika kua ana virusi vya UKIMWI mnamo mwaka 1991 hali iliyo mfanya kuacha Kikapu katika ligi ya NBA, na hakufahamu kuwa ni nani hasa alimpa ugonjwa huo sababu alikua ana wapenzi wengi (Michepuko).

3.Rick WilsonRick Wilson Mpiga guitar wa bendi ya B-52's ambae pia alikua shoga maarufu alifariki dunia mnamo mwaka 1985 akiwa na umri wa miaka 31 sababu ya AIDs.

4.Michael Jeter
 Michael Jeter unaweza ukamfahamu mr.Jeter kwenye movie ya 'The Green Mile.' Huyu nae aligundulika ana virusi ila hakufariki kwa ngoma na badala yake kilicho muua ni kifafa akiwa na umri wa miaka 50.

5.Eric "Eazy-E" Wright
 Easy E of NWA in Torrance, CA. 1989 Rapper na mwanzilishi wa kundi la N.W.A aligundulika na maambukizi ya virusi vya UKIMWI mwaka 1995. Alikua ni mtu wa totoz( madem) na alikua na watoto 7 kila mmoja na mama yake(doh!). Alifariki mwezi mmoja baadae.

6.Arthur Ashe
 Arthur Ashe Mcheza tenis maarufu duniani Arthur Ashe alipata maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa njia ya Kuongezewa damu Kipindi alipokua amefanyiwa operation ya moyo kwenye miaka ya 80. Alipokua na miaka 49 tuu alifariki Dunia.

7.Gia CarangiGia Carangi Huyu alikua ni mwana mitindo katika miaka ya 70 na 80 na aligundulika kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI akiwa na umri wa miaka 26 tuu. Na alifariki kwa magonjwa nyemelezi ingawa katika kipindi cha miaka mitano ya mwisho alisubuliwa na heroin addiction.

8.Timothy Patrick MurphyTimothy Patrick MurphyAn original cast member of 'Dallas,' Murphy alifariki kwa HIV mnamo mwaka 1988.

9.Tim Richmond
Tim RichmondNASCAR driver Tim Richmond Alifariki kwa Ugonjwa Huo na hakuna aliyekua anafahamu kua jamaa huyo ni muathirika mpaka ilipokuja kugundulika siku 10 baada ya kifo chake.

10.Charlie Sheen
No. 1 Charlie Sheen Kama ni mfuatiliaji wa 'The Today Show', basi nyota huyo kuna kipindi alitangaza kua Amepata maambukizi na hii ilikua ni siri aliyo kaa nayo kwa miaka minne huko nyuma na watu walio kuwa wanaifahamu siri hiyo walikua wakitaka pesa nyingi kutoka kwa jamaa huyu ili wasitangaze hivyo jamaa akaona atangaze tuu kuondoa Usumbufu.
"I'm here to admit that I am in fact HIV-positive. And I have to put a stop to this onslaught, this barrage of attacks and of sub-truths and very harmful and mercurial stories that are about the [alleged] threatening the health" he told Matt Lauer.





PITIA NA HIZI PIA 
 1.Oliver Mtukudzi picha Halisi ya Muziki wa Kiafrica. 

2. Wafahamu madancer Albir Rojas na Sara Lopez wakali wa 'Kizomba dance'

3.Mfahamu R.KELLY na maisha yake ya Muziki kiujumla

 .> LIFAHAMU KABILA LA HADZABE KABILA PEKEE LINALOISHI KWA

 >KIJANA BADILI MTAZAMO WAKO NA JENGA MAISHA BORA


Jiunge na watu 3000 walio ichagua MTOKAMBALI ili Kupata Makala zetu za kila week End!

* indicates required

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...