11 July, 2016

video mpya ya Nikki Mbishi Ft Becka Title ‘Kwa Nini Mimi’

Hii Video mpya ya Nikki Mbishi ‘Kwa Nini Mimi’ aliyomshirikisha Becka Title. Video imeongozwa na Mecky Kaloka. Chukua time yako kuitizama kisha kumbuka kuwashirikisha wana kitaa na kuusambaza upendo.

Young Thug ana amini hakuna kitu kiitwacho Jinsia.

Young Thug  Rapper huyo kutoka pande za states amekua akisema  na kufanya vitu ambavyo vimekuwa ni vituko na kuwavutia watu wengi hasa mashabiki wake kote ulimwenguni bila kujali jinsia na mapenzi, ameendelea kutisha kitaa na mavazi yake ambayo mengi ni ya kike ila yeye hajali hilo kabisa.

  Kwenye utengenezaji wa tangazo la  Calvin Klein kampuni maarufu ya mitindo, Thug amesema haamini kama kuna Jinsia.
“In my world of course you could be a gangsta with a dress or you could be a gangsta with baggy pants. I feel like it’s no such thing as gender.”
 Na hii ndio video ya Tangazo hilo.

Shamrashamra zazidi kunoga huko ureno


Kundi kubwa la mashabiki wa Ureno limeendelea kusheherekea bada ya timu yao ya taifa kuifunga Ufaransa katika michuano ya Euro 2016 mjini Paris.
Ureno imeshinda 1-0 katika muda wa nyongeza na kuwaacha mashabiki wa Ufaransa katika hali ya simanzi ndani ya dimba la Stade de France huku mitaa ya Lisbon ikirindima kwa shangwe kubwa.

Ureno illicheka karibia mda wote bila huduma ya nyota wake Cristiano Ronaldo aliyeumia na kutolewa nje dakika 25 ya mchezo huo na baadaye kurejea na kulinyanyua kombe hilo.

Amesema kombe hilo ni kwa ajili ya Wareno wote pamoja na wote wanaioshabikia timu hiyo mjini Paris.
Hii ni mara ya kwanza kwa Ureno kushinda taji kubwa kama hilo.

Video: Gnako Feat Nikki wa Pili – Laini

Kutoka Weusi, Rapper mwenye uwezso mkubwa katika muziki Gnako(mnako) katuletea Video mpya aliyo mshirikisha rapper Nikk wa Pilli, video hiyo inakwenda kwa jina la Lain na imeongozwa na director Freeman Richard. Chukua time yako kuitizama video hiyo hapa.

09 July, 2016

Mlinda lango wa Arsenal Petr Cech ametangaza kuwa amestaafu katika soka la kimataifa.


Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 ndiye mchezaji aliyelichezea sana taifa lake kupitia mechi 121 alizoshirikia tangu aanze mwaka 2002.

Alikuwa miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha Czech ambacho kilifika nusu fainali ya Euro2004 kabla ya kushindwa na mabingwa Ugiriki.
''Nilipokuwa mtoto,ndoto yangu ilikuwa kuchezea timu ya taifa hata japo mara moja,aliuambia mtandao wa Arsenal.''Baada ya kushiriki mara nyingi naona fahari'',alisema Cech.

Music: Jay Z – Spiritual


In the wake of this week’s police shootings of Alton Sterling and Philando Castile, Jay Z breaks his silence with a song called “spiritual.” After BeyoncĂ© penned an open letter and took a moment of silence for the victims of police brutality, Mr. Carter lets the music speak.jayEnjoy

Timazama collection mpya ya nguo za Martini Kadinda.

Wengi tunamfahamu martin Kadinda kwa ubunifu wa mavazi hapa nchini hasa kwa zile suti mahiri za single Button ambazo ndizo zilizomfanya kujulikana zaidi katika ulimwengu wa mitindo. Mnaomo June 7 alizindua Collection mpya ya nguo zake huko nchini Africa ya Kusini katika uwanja kimataifa wa mpira Cape Town.

Collection hiyo kaipatia jina la MWANANA, ambapo amezsipatia jina hilo baada ya kusherekea upepo mwanana unaopatikana katika fukwe za Bahari ya Hindi ambapo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii hapa nchini. Kadinda2Kadinda3Kadinda5

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...