11 July, 2016

Young Thug ana amini hakuna kitu kiitwacho Jinsia.

Young Thug  Rapper huyo kutoka pande za states amekua akisema  na kufanya vitu ambavyo vimekuwa ni vituko na kuwavutia watu wengi hasa mashabiki wake kote ulimwenguni bila kujali jinsia na mapenzi, ameendelea kutisha kitaa na mavazi yake ambayo mengi ni ya kike ila yeye hajali hilo kabisa.

  Kwenye utengenezaji wa tangazo la  Calvin Klein kampuni maarufu ya mitindo, Thug amesema haamini kama kuna Jinsia.
“In my world of course you could be a gangsta with a dress or you could be a gangsta with baggy pants. I feel like it’s no such thing as gender.”
 Na hii ndio video ya Tangazo hilo.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...