Mwanzilishi wa mtandao maarufu wa Wikileaks, Gavin MacFadyen (76)
amekutwa amefariki Jumamosi ambapo chanzo cha kifo chake bado
hakijajulikana.
Mtandao wa Wikileaks umekuwa ukiibua mambo mbalimbali ya siri ya mgombea urais wa Marekani, Hillary Clinton.
Wengi hawajayaamini kifo chake ambacho kimewastua na kuumiza mioyo
ya watu wengi hasa pale wanapomkumbuka marehemu kama mwanzilishi wa
kituo cha habari za uchunguzi (Centre for Investigative Journalism)
mwaka 2003 ambapo wanahabari wengi wakubwa duniani wamejifunza hapo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment