25 October, 2016

List ya Wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji Bora wa Dunia

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza majina ya wachezaji 30 ambao wanataraji kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia kwa mwaka 2016 maarufu kama Ballon d’Or.

Majina ya wachezaji ambao wanawania tuzo hiyo kwa mwaka huu imeongezeka kutoka 23 hadi 30 na Disemba 13 yatatangazwa majina ya wachezaji watatu ambao wataingia katika kinyang’anyiro kwa kupigiwa kura na mshindi kupatikana.

Wachezaji 30 ambao wametajwa kuwania Ballon d’Or 2016 ni kama Ifuatavyo
Sergio Aguero (Manchester City), 

Pierre-Emerick Aubameyang (Borussia Dortmund), 
Gareth Bale (Real Madrid), 

Gianluigi Buffon (Juventus),

Cristiano Ronaldo (Real Madrid), 

Kevin De Bruyne (Manchester City), 

Paulo Dybala (Juventus),

Diego Godin (Atletico Madrid),

 Antoine Griezmann (Atletico Madrid), 

Gonzalo Higuain (Juventus),

Zlatan Ibrahimovic (Manchester United), 

Andres Iniesta (Barcelona),

Koke (Atletico Madrid),

 Toni Kroos (Real Madrid),

Robert Lewandowski (Bayern Munich).

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...