Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza majina ya wachezaji 30
ambao wanataraji kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia kwa mwaka 2016
maarufu kama Ballon d’Or.
Majina ya wachezaji ambao wanawania tuzo hiyo kwa mwaka huu
imeongezeka kutoka 23 hadi 30 na Disemba 13 yatatangazwa majina ya
wachezaji watatu ambao wataingia katika kinyang’anyiro kwa kupigiwa kura
na mshindi kupatikana.
Wachezaji 30 ambao wametajwa kuwania Ballon d’Or 2016 ni kama Ifuatavyo
Sergio
Aguero (Manchester City),
Pierre-Emerick Aubameyang (Borussia Dortmund),
Gareth Bale (Real Madrid),
Gianluigi Buffon (Juventus),
Cristiano
Ronaldo (Real Madrid),
Kevin De Bruyne (Manchester City),
Paulo Dybala
(Juventus),
Diego Godin (Atletico Madrid),
Antoine Griezmann (Atletico
Madrid),
Gonzalo Higuain (Juventus),
Zlatan Ibrahimovic (Manchester
United),
Andres Iniesta (Barcelona),
Koke (Atletico Madrid),
Toni Kroos
(Real Madrid),
Robert Lewandowski (Bayern Munich).
25 October, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment